Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 13:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Wala hapana mtu katika wale walioketi chakulani aliyeijua sababu hatta akamwambia hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Isa alimwambia hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Isa alimwambia hivyo.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:28
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na baada ya lile tonge, Shetani akamwingia. Bassi Yesu akamwambia, Uyatendayo, yatende upesi.


Maana wengine, kwa kuwa Yuda aliuchukua mfuko, walidhani ya kuwa Yesu alimwambia, Nunua tunavyovihitaji kwa siku kuu; au kwamba awape maskini kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo