Yohana 13:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192123 Palikuwako mmoja wa wanafunzi wake, amemwegamia Yesu kifua chake, ambae Yesu alimpenda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Mmoja wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Mmoja wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Mmoja wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Mmoja wa wanafunzi wake, ambaye Isa alimpenda sana, alikuwa ameegama kifuani mwa Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Mmoja wa wanafunzi wake ambaye Isa alimpenda sana, alikuwa ameegama kifuani mwa Isa. Tazama sura |