Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 13:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Tangu sasa nawaambieni kabla hayajatukia, illi yatakapotukia, mpate kuamini ya kuwa mimi ndiye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini kuwa ‘Mimi Ndimi.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini kuwa ‘Mimi Ndimi.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini kuwa ‘Mimi Ndimi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Ninawaambia mambo haya kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa Mimi ndiye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Ninawaambia mambo haya kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa Mimi ndiye.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:19
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ndiye ajae, au tumtazamie mwingine?


Angalieni, nimetangulia kuwaambieni.


Lakini haya yatapata kuwa ushuhuda wenu.


Yohana akamshuhudia, akapaaza sauti yake, akinena, Huyu ndiye niliyemnena khabari zake, kwamba, Ajae nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Na sasa nimewaambieni kabla haijawa, kusudi iwapo, mwamini.


Lakini nimewaambieni haya, illi kusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambieni. Haya sikuwaambieni tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwa pamoja nanyi.


Yesu akamwambia, Mimi nisemae nawe, ndiye.


Bassi Yesu akawaambia, Mtakapokuwa mmekwisha kumwinua Mwana wa Adamu, ndipo mtakapofahamu ya kuwa mimi ndiye, na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu tu, illa kama Baba yangu alivyonifundisha, ndivyo nisemavyo.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Kabla Ibrahimu hajakuwapo, Mimi nipo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo