Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 13:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Mkiyajua hayo, m kheri mkiyatenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Sasa kwa kuwa mmejua mambo haya, heri kwenu mkiyatenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Sasa kwa kuwa mmejua mambo haya, heri yenu ninyi kama mkiyatenda.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:17
21 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ye yote atakaeyafanya mapenzi ya baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.


Lakini yeye akasema, Bali afadhali wa kheri wenye kulisikia neno la Mungu na kulishika.


Ninyi m rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Kwa sababu sio waisikiao torati walio wenye haki mbele ya Mungu, bali ni wale waitendao torati watakaohesabiwa kuwa wenye haki.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Lakini aliyeitazama sharia kamilifu ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyu atakuwa wa kheri katika kutenda kwake.


Bassi yeye ajuae kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyu ni dhambi.


Wa kheri wazifuazo nguo zao, wawe na amri kuuendea mti wa uzima, na kuuingia mji kwa milango yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo