Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 13:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Kwa kuwa nimewapeni mfano illi hayo niliyowatendea ninyi, na ninyi mtende yayo hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mimi nimewawekea kielelezo kwamba imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea ninyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mimi nimewawekea kielelezo kwamba imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea ninyi.

Tazama sura Nakili




Yohana 13:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu;


Na Mungu mwenye uvumilivu na faraja awajalieni kunia mamoja ninyi kwa ninyi, kwa namna ya Yesu Kristo;


mkaenende katika upendo, kama na Kristo alivyowapenda ninyi, akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu nzuri.


Kwa sababu ndio mlioitiwa: maana Kristo nae aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachieni mfano, mfuate nyayo zake;


wala si kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao, bali kwa kujifanya mfano kwa lile kundi.


Yeye asemae ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vilevile kama yeye alivyoenenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo