Yohana 13:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Maana alimjua atakaemsaliti, ndio maana alisema, Hamwi safi nyote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: “Nyinyi mmetakata, lakini si nyote.”) Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: “Nyinyi mmetakata, lakini si nyote.”) Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: “Nyinyi mmetakata, lakini si nyote.”) Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa kuwa yeye alijua ni nani ambaye angemsaliti, ndiyo sababu akasema si kila mmoja aliyekuwa safi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa kuwa yeye alijua ni nani ambaye angemsaliti, ndiyo sababu akasema si kila mmoja aliyekuwa safi. Tazama sura |