Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 12:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Bassi Yesu alisema, Mwache, ameyaweka haya kwa siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Isa akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Isa akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili




Yohana 12:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akijua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hii, ametenda hivi illi kuniweka tayari kwa maziko yangu.


Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamwudhi? amenitendea kazi njema:


Akatoka mtu, jina lake Yusuf, nae ni mtu wa baraza yao, mtu mwema, mwenye haki


Tufuate:

Matangazo


Matangazo