Yohana 12:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Mbona marhamu haya hayakuuzwa kwa dinari mia tatu, na kupewa maskini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 “Kwa nini marashi hayo hayakuuzwa kwa fedha dinari 300, wakapewa maskini?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 “Kwa nini marashi hayo hayakuuzwa kwa fedha dinari 300, wakapewa maskini?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 “Kwa nini marashi hayo hayakuuzwa kwa fedha dinari 300, wakapewa maskini?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “Kwa nini manukato haya hayakuuzwa kwa dinari mia tatu, na fedha hizo wakapewa maskini?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “Kwa nini manukato haya hayakuuzwa kwa dinari 300 na fedha hizo wakapewa maskini?” Tazama sura |