Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 12:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Maneno hayo aliyasema Isaya alipouona utukufu wake, akataja khabari zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Isa na kunena habari zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Isa na kunena habari zake.

Tazama sura Nakili




Yohana 12:41
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akaanza toka Musa na manabii, akawafasiria katika maandiko yote mambo yaliyomkhusu yeye.


Nae Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu, tukautazama utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee akitoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote, Mwana wa pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyefasiri khabari yake.


Yesu akamwambia, Nimekuwa pamoja nanyi siku hizi zote wala hukunijua, Filipo? Aliyeniona mimi, amemwona Baba; wasemaje wewe, Tuonyeshe Baba?


Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake: na hayo ndiyo yanayonishuhudia:


Huyu manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake killa amwaminiye atapewa ondoleo la dhambi.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itangʼaa toka gizani, ndive aliyengʼaa mioyoni mwetu, atupe nuru va elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Yeye kwa kuwa ni mwanga wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivitengeneza vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya peke yake utakaso wa dhambi zetu, aliketi juu mkono wa kuume wa ukuu;


wakitafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho ya Kristo iliyokuwa ndaui yao, aliyetangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwa baada ya hayo.


Nikaanguka mbele ya miguu yake, nimsujudie, akaniambia, Angalia, usifanye hivi: mimi mjoli wako na mmoja wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudu Mungu: kwa maana ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo