Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 12:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

39 Kwa sababu hii hawakuweza kuamini, kwa sababu Isaya alisema tena,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya alisema tena:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya alisema tena:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya alisema tena:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:

Tazama sura Nakili




Yohana 12:39
8 Marejeleo ya Msalaba  

lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi, mpate kujua na kuamini ya kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.


illi litimizwe lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, nani aliyeziamini khabari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


Amewapofusba macho, amefanya migumu mioyo yao, Wasije wakaona kwa macho yao, wakafahamu kwa mioyo yao, Wakagenka, nikawaponya.


Mwawezaje kuamini ninyi mnaopokezanya utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Hakuna mtu awezae kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka: nami nitamfufua siku ya mwisho.


wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kukhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo ilivozoezwa kutamani, wana wa laana;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo