Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 12:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Nami nikiinuliwa juu ya inchi nitavuta wote kwangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Lakini mimi, nikiinuliwa kutoka nchi, nitawavuta watu wote waje kwangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Lakini mimi, nikiinuliwa kutoka nchi, nitawavuta watu wote waje kwangu.”

Tazama sura Nakili




Yohana 12:32
23 Marejeleo ya Msalaba  

Huyu alikuja kwa ushuhuda, illi aishuhudie nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.


Bassi makutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hatta milele: nawe wanenaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


illi neno lake Yesu litimizwe, alilolisema, akionyesha ni mauti gani atakayokufa.


akatoka, akijichukulia msalaba wake, hatta mahali paitwapo pa kichwa, na kwa Kiebrania Golgotha;


Na kama Musa alivyomwinua nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana buddi kuinuliwa:


Hakuna mtu awezae kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka: nami nitamfufua siku ya mwisho.


Bassi Yesu akawaambia, Mtakapokuwa mmekwisha kumwinua Mwana wa Adamu, ndipo mtakapofahamu ya kuwa mimi ndiye, na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu tu, illa kama Baba yangu alivyonifundisha, ndivyo nisemavyo.


Kristo alitukomboa na laana ya sharia, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu: maaua imeandikwa, Amelaaniwa killa mtu atuudikwae juu ya mti:


aliyejitoa nafsi yake kuwa ukombozi kwa ajili ya wote utakaoshuhudiwa kwa majira yake;


illa twamwona yeye aliyefanywa mdogo punde kuliko malaika, yaani Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji ya utukufu na heshima, illi kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya killa mtu.


yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, illi, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe bayi kwa mambo ya haki; kwa kuchubuka kwake mliponywa.


Kwa maana Kristo nae aliteswa marra moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio baki, illi atulete kwa Mungu; mwili wake akifishwa, bali roho yake akihuishwa.


nae ni kipatanisho kwa dhambi zetu: wala si kwa dhambi zetu tu, bali kwa dhambi za ulimwengu wote.


Nao waimba uimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulicbinjwa


Tufuate:

Matangazo


Matangazo