Yohana 12:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Kwa sababu hiyo makutano wakaenda kumlaki, kwa sababu wamesikia ya kwamba amefanya ishara hii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Na kwa sababu walikuwa wamesikia kwamba alikuwa ametenda muujiza huu, umati wa watu wakaenda kumlaki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ni kwa sababu pia walikuwa wamesikia kwamba alikuwa ametenda muujiza huu ndiyo maana umati wa watu ukaenda kumlaki. Tazama sura |