Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Wale wanafunzi wakamwambia, Rabbi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga mawe, nawe unakweuda huko tena?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wanafunzi wakamwambia, “Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wanafunzi wakamwambia, “Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wanafunzi wakamwambia, “Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wanafunzi wake wakamwambia, “Mwalimu, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wanafunzi wake wakamwambia, “Mwalimu, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi.


Bali ninyi nisiitwe Rabbi; maana mwalimu wenu yu mmoja ndiye Kristo, na ninyi nyote ni ndugu.


Bassi Wayahudi wakaokota mawe tena, illi wampige.


Wakatafuta marra ya pili kumkamata: akatoka mikononi mwao.


na watu wengi katika Wayahudi wamekuja kwa Martha na Mariamu, illi kuwafariji kwa ajili ya ndugu yao.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabbi, ule.


Bassi wakatwaa mawe wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Lakini siyahesabu maisha yaugu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na khuduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Injili ya neema ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo