Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:50 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

50 Ninyi hamjui neno lo lote, wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu hawa, wala lisiangamie taifa zima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:50
6 Marejeleo ya Msalaba  

Jicho lako la kuume likikukosesha, lingʼoe ulitupe mbali nawe: kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehannum.


Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, na ndivyo ilivyompasa Kristo kuteswa, na kufufuka siku ya tatu;


Tukimwacha hivi, watu wote watamwamini: na Warumi watakuja, wataondoa mahali petu na taifa letu.


Na Kayafa ndiye aliyewapa Wayahudi shauri kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.


Tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si mpenda Kaisari; killa ajifanyae kuwa mfalme amfitini Kaisari.


Kwa maana tusiseme (kama tulivyosingiziwa nakama wengine wanavyokaza kusema ya kwamba sisi twanena), Na tufanye mabaya, illa yaje mema? kuhukumiwa kwao kuna haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo