Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:46 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

46 Lakini baadhi yao wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Isa aliyoyafanya.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:46
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na Makuhani na Mafarisayo wametoa amri ya kwamba, mtu akimjua alipo, alete khabari, wapate kumkamata.


Lakini ijapokuwa amefanya ishara kubwa namna hii mbele yao, hawakumwamini;


Mafarisayo wakawasikia makutano wakinungʼunika hivi kwa khabari zake: bassi Mafarisayo na makuhani wakuu wakatuma watumishi illi wamkamate.


Bassi wale watumishi wakawaendea makuhani wakuu na Mafarisayo, nao wakawaambia, Mbona hamkumleta?


Wakampeleka yule aliyekuwa kipofu zamani kwa Mafarisayo.


Mtu mmoja akaja akawapasha khabari ya kama, Watu wale mliowaweka gerezani wako ndani ya hekalu, wamesimama wakiwafundisha watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo