Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

43 Akiisha kusema haya, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, toka, njoo huku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Baada ya kusema haya, Isa akapaza sauti yake, akaita, “Lazaro, njoo huku!”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:43
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaingizwa na khofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, bassi, hatta upepo na bahari zamtii?


Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia siku zote; lakini kwa ajili ya makutano hawa wanaozunguka nalisema haya, wapate kuamini kwamba ndiwe uliyenituma.


Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa saanda miguuni na mikononi, na uso wake umefungwa kitambaa. Yesu akawaambia, Mfungueni, kamwacheni aende zake.


BASSI Yesu siku sita kabla ya Pasaka akafika Bethania, hapo alipokuwapo Lazaro, yule aliyekufa akaihfuliwa nae.


Bassi kundi kubwa la Wayuhudi walijua ya kuwa yeye yuko huko; wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, bali wamwone na Lazaro, ambae alimfufua katika wafu.


Hatta Petro alipoona haya akawajibu watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utawa wetu sisi?


Petro akanena, Fedha sina, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Mnazareti, simama uende.


Petro akamwambia, Ainea, Yesu Kristo akuponya: ondoka, ukatandike kitanda chako.


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo