Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Yesu akamwambia, Sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? Bassi wakaliondoa lile jiwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Yesu akamwambia, “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Yesu akamwambia, “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Yesu akamwambia, “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Isa akamwambia, “Sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Isa akamwambia, “Sikukuambia kwamba kama ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:40
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Kwa sababu ya kutokuamini kwenu. Kwa maana, amin, nawaambieni, Mkiwa na imani kama punje ya kharadali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa hatta kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.


Yesu akamwambia, Ukiweza kuamini: yote yawezekana kwake aaminiye.


Nae Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu, tukautazama utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee akitoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.


Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali kwa ajili ya utukufu wake Mungu, illi Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.


Maneno hayo aliyasema Isaya alipouona utukufu wake, akataja khabari zake.


Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe kwake.


Bassi tulizikwa pamoja nae kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tutembee katika upya wa uzima.


Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji, tukiuangalia utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo, tunabadilishwa na kufananishwa na mfano huo huo, toka utukufu hatta utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana aliye Roho.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itangʼaa toka gizani, ndive aliyengʼaa mioyoni mwetu, atupe nuru va elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo