Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Yesu akatoka machozi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Yesu akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Isa akalia machozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Isa akalia machozi.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:35
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakisikia haya akaongeza akawaambia mfano, kwa sababu alikuwa akikaribia Yerusalemi, nao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu utaonekana marra moja.


Nae alipokaribia akauona mji, akaulilia,


Bassi, Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliofuatana nae wanalia, akaugua rohoni, akajifadhaisha nafsi yake,


akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo, utazame.


Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuyachukua mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijuribiwa sawa sawa na sisi katika mambo yote, bila dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo