Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana, njoo, utazame.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Kisha akawauliza, “Mlimweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo uone.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hayupo hapa; kwa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni, patazameni mahali alipolazwa Bwana.


Mariamu Magdalene na Mariamu wa Yose wakapatazama alipowekwa.


Nae akawaambia, Msistaajabu; muamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulibiwa: amefufuka: bayupo hapa: patazameni pahali walipomweka.


Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Ilikuwa karibu na saa kumi.


Bassi, Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliofuatana nae wanalia, akaugua rohoni, akajifadhaisha nafsi yake,


Yesu akatoka machozi.


Bassi akaenda mbio hatta kwa Simon Petro, na kwa mwanafunzi yule mwingine aliyependwa na Yesu, akawaambia, Wamemwondoa Bwana kaburini, wala hatujui walikomweka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo