Yohana 11:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192132 Bassi Mariamu, alipofika pale alipokuwapo Yesu, akamwona, akaanguka miguuni pake, akamwambia, Bwana, kama ungaliwapo hapa, ndugu yangu asingalikufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwambia, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwambia, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwambia, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Mariamu alipofika mahali pale Isa alipokuwa, alipiga magoti miguuni pake na kusema, “Bwana, kama ungekuwa hapa, ndugu yangu hangekufa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Maria alipofika mahali pale Isa alipokuwa, alipiga magoti miguuni pake na kusema, “Bwana Isa, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.” Tazama sura |