Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 na killa mwenye uzima na kuniamini mimi hatakufa kabisa hatta milele. Je! waamini haya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:26
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu sasa hivi, akaniletea zaidi ya majeshi thenashara ya malaika?


Alipolika nyumbani, wale vipofu wakamwendea: Yesu akawaambia. Mnaamini kwamba naweza kufanya haya? Wakamwambia, Naam, Bwana.


Yesu akamwambia, Ukiweza kuamini: yote yawezekana kwake aaminiye.


nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakaewapokonya katika mkono wangu.


Huamini ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba ndani yangu? Maneno niwaambiayo mimi, sisemi kwa shauri langu tu; lakini Baba akaae ndani yangu huzifanya kazi zake.


walakini ye yote atakaekunywa maji yale nitakayompa mimi, hataona kiu milele, bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika hatta uzima wa milele.


Amin, amin, nawaambieni, Alisikiae neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka ana uzima wa milele, wala hafiki hukumuni, bali amepita toka mauti hatta uzima.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi ana uzima wa milele.


Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; akamwona, akasema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu?


kwa maana kama mkiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa: bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo