Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Lakini Yesu amenena khabari za mauti yake: nao walidhani ya kuwa ananena khabari za kulala usiugizi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hata hivyo, Isa alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hata hivyo, Isa alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia, Ondokeni: kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Akasema, Msilie; kwa maana hakufa, bali amelala usingizi.


Aliyasema haya: kiisha baada ya liaya akawaambia, Lazaro rafiki yetu amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.


Bassi wale wanafunzi wake wakamwambia, Bwana, kama amelala atapona.


Bassi hapo Yesu akawaambia kwa wazi, Lazaro amekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo