Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Aliyasema haya: kiisha baada ya liaya akawaambia, Lazaro rafiki yetu amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Baada ya kusema haya, Isa akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Baada ya kusema haya, Isa akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:11
25 Marejeleo ya Msalaba  

makaburi yakafunuka; ikafufuka miili mingi ya watakatifu waliolala;


akawaambia, Ondokeni: kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Alipokwisha kuingia, akawaambia, Mbona mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hakufa, bali amelala tu. Wakamcheka sana.


Bali akienda usiku, hujikwaa, kwa sababu nuru haimo ndani yake.


Bassi wale wanafunzi wake wakamwambia, Bwana, kama amelala atapona.


Lakini Yesu amenena khabari za mauti yake: nao walidhani ya kuwa ananena khabari za kulala usiugizi.


Bassi wale maumbu wakatuma ujumbe kwake, wakisema, Bwana, yeye umpendae hawezi.


Aliye nae bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi anaesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi: bassi hii furaha yangu imetimia.


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala.


Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.


Erevukeui kama ipasavyo, wala insiteude dhambi; kwa maana wengine hawamfahamu Mungu. Ninasema haya niwafedheheshe.


Angalieni, nawaambieni siri; hatutalala wote, lakini wote tutabadilika,


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


aliyekufa kwa ajili vetu, illi tuishi pamoja nae, ikiwa twakesha au ikiwa twalala.


Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Ibrahimu alimwamini Mungu ikahesabiwa kwake kuwa ni haki: nae aliitwa raliki wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo