Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 11:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Bali akienda usiku, hujikwaa, kwa sababu nuru haimo ndani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Lakini wale wanaotembea usiku hujikwaa kwa sababu hawana nuru ndani yao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”

Tazama sura Nakili




Yohana 11:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


Aliyasema haya: kiisha baada ya liaya akawaambia, Lazaro rafiki yetu amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.


Yesu akajibu, Saa za mchana je si thenashara? Mtu akienda mchana hajikwai, kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo