Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Mimi ndimi niliye mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka, ataingia, atatoka, na atapata malisho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mimi ndimi lango. Yeyote anayeingia zizini kupitia kwangu ataokoka. Ataingia na kutoka, naye atapata malisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mimi ndimi lango, yeyote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu ataokoka, ataingia na kutoka, naye atapata malisho.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

AMIN, amin, nawaambieni, asiyeingia kwa mlango katika zizi la kondoo, lakini apanda penginepo, huyu ni mwizi na mnyangʼanyi.


Bawabu humfungulia huyu, na kondoo humsikia sauti yake, nae huwaita kondoo zake kwa majina yao, huwapeleka nje.


Bassi Yesu aliwaamhia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi niliye mlango wa kondoo;


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


Maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Mungu Baba katika Roho mmoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo