Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 wote walionitangulia ni wezi na wanyangʼanyi: lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang'anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang’anyi, nao kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi, lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

AMIN, amin, nawaambieni, asiyeingia kwa mlango katika zizi la kondoo, lakini apanda penginepo, huyu ni mwizi na mnyangʼanyi.


Kondoo zangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata;


Mgeni hawatamfuata kabisa, hali watamkimbia, kwa maana hawaijui sauti ya wageni.


Kwa sababu kabla ya siku hizi aliondoka Theuda, akidai ya kuwa yeye ni mtu, mkuu watu wapata aroba mia wakashikamana nae, na wote waliomsadiki wakatawanyika wakawa si kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo