Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Bassi Yesu aliwaamhia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi niliye mlango wa kondoo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa hiyo Isa akasema nao tena, akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa hiyo Isa akasema nao tena akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

AMIN, amin, nawaambieni, asiyeingia kwa mlango katika zizi la kondoo, lakini apanda penginepo, huyu ni mwizi na mnyangʼanyi.


Mimi ndimi niliye mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka, ataingia, atatoka, na atapata malisho.


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


Maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Mungu Baba katika Roho mmoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo