Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Methali hii Yesu aliwaambia; lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Isa alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Isa alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:6
20 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; na pasipo mfano hakuwaambia neno:


Yesu aliwaambia, Mmeyafahamu haya yote? Wakamwambia, Naam, Bwana.


wala pasipo mfano hakusema nao: akawaeleza wanafunzi wake mambo yote kwa faragha.


Haya nimesema nanyi kwa methali: saa inakuja, sitasema nanyi tena kwa methali, lakini nitawapa kwa wazi khabari ya Baba.


Wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni methali yo yote.


Bassi Wayahudi wakashindana wao kwa wao, wakinena; Awezaje mtu huyu kutupa sisi nyama yake tuile?


Bassi watu wengi katika wanafunzi wake waliposikia haya, wakasema, Neno hili ni gumu, nani awezae kulisikia?


Neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; na nilipo mimi, ninyi hamwezi kuja?


Hawakufahamu ya kuwa awatajia Baba.


Mbona hamyafahamu maneno yangu haya niyasemayo? Ni kwa sababu hamwezi kulisikia neno langu.


Bassi mwana Adamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Mungu; maana kwake huyu ni mapumbavu, wala hawezi kuyajua, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Lakini lile onyo la ile methali ya kweli limewapata: Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa kujifingirisha matopeni.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo