Yohana 10:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Mgeni hawatamfuata kabisa, hali watamkimbia, kwa maana hawaijui sauti ya wageni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kondoo hao hawawezi kumfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui sauti yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kondoo hao hawawezi kumfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui sauti yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kondoo hao hawawezi kumfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui sauti yake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Lakini kondoo hawatamfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui sauti ya mgeni.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Lakini kondoo hawatamfuata mgeni bali watamkimbia, kwa sababu hawaijui sauti ya mgeni.” Tazama sura |