Yohana 10:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Awatoapo nje kondoo zilizo zake, huwatangulia; na kondoo humfuata, kwa maana waijua sauti yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Akisha watoa nje huwatangulia mbele, nao kondoo humfuata, kwani wanaijua sauti yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Akisha watoa nje huwatangulia mbele, nao kondoo humfuata, kwani wanaijua sauti yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Akisha watoa nje huwatangulia mbele, nao kondoo humfuata, kwani wanaijua sauti yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Baada ya kuwatoa wote nje, yeye hutangulia mbele yao na kondoo humfuata, kwa kuwa wanaijua sauti yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Akiisha kuwatoa wote nje, hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa kuwa wanaijua sauti yake. Tazama sura |