Yohana 10:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192135 Ikiwa aliwaita wale miungu waliojiliwa na neno la Mungu (na maandiko hayawezi kutanguka), Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Mungu aliwaita miungu wale waliopewa ujumbe wake; nasi twajua kwamba Maandiko Matakatifu yasema ukweli daima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Mungu aliwaita miungu wale waliopewa ujumbe wake; nasi twajua kwamba Maandiko Matakatifu yasema ukweli daima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Mungu aliwaita miungu wale waliopewa ujumbe wake; nasi twajua kwamba Maandiko Matakatifu yasema ukweli daima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Kama aliwaita ‘miungu’ wale ambao neno la Mungu liliwafikia, nayo Maandiko hayawezi kutanguka, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Kama aliwaita ‘miungu,’ wale ambao neno la Mungu liliwafikia, nayo Maandiko hayawezi kutanguka, Tazama sura |