Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Bassi Wayahudi wakaokota mawe tena, illi wampige.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo,

Tazama sura Nakili




Yohana 10:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mafarisayo wakatoka wakamfanyia shauri la kumwangamiza.


Wale wakulima wakawakamata watumishi wake, huyu wakampiga, na mwingine wakamwua, na mwingine wakampiga mawe.


illi iwajieni damu yote ya haki iliyomwagika katika inchi, tangu damu ya Habil, yule mwenye haki, hatta damu ya Zakaria, mwana wa Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhbahu,


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi toka Yerusalemi wamwulize, Wewe u nani?


Bassi Wayahudi wakamzunguka, wakamwambia, Hatta lini utatuangaisha roho zetu? Kama wewe u Kristo, tuambie wazi wazi.


Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha zitokazo kwa Baba yangu: katika kazi hizo ni ipi mnayonipigia mawe?


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabbi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga mawe, nawe unakweuda huko tena?


Bassi kwa sababu hii Wayahudi wakazidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na haya alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu.


Bassi wakatwaa mawe wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Ni yupi katika manabii ambae baba zenu hawakumwudhi? nao waliwaua wale waliotabiri khabari za kuja kwake yule mwenye haki; ambae ninyi sasa mmemsaliti mkamwua;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo