Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Lakini ninyi hamwamini kwa sababu hammo katika kondoo zangu, kama nilivyowaambieni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Lakini nyinyi hamsadiki kwa sababu nyinyi si kondoo wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Lakini nyinyi hamsadiki kwa sababu nyinyi si kondoo wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Lakini nyinyi hamsadiki kwa sababu nyinyi si kondoo wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kondoo zangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata;


Awatoapo nje kondoo zilizo zake, huwatangulia; na kondoo humfuata, kwa maana waijua sauti yake.


Yote anipayo Bwana itakuja kwangu; nae ajae kwangu sitamtupa nje kamwe.


Akanena, Kwa sababu hii nimewaambia ya kwamba hapana mtu awezae kuja kwangu, isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.


Aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; kwa hiyo ninyi hamsikii, kwa sababu ninyi si wa Mungu.


Sisi twatokana na Mungu. Yeye anijuae Mungu atusikia; yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Hivi twaijua Roho ya kweli, na roho ya upotevu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo