Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Wengine wakasema, Maneno haya siyo ya mtu mwenye pepo. Je! pepo aweza kuwafumbua macho vipofu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua macho ya vipofu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua macho ya vipofu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua macho ya vipofu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na pepo mchafu. Je, pepo mchafu aweza kufungua macho ya kipofu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na pepo mchafu. Je, pepo mchafu aweza kufungua macho ya kipofu?”

Tazama sura Nakili




Yohana 10:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanakhubiriwa khabari njema.


Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Bassi ilikuwa siku kuu ya kutabaruku huko Yerusalemi; ni wakati wa baridi.


Alipokwisha kusema haya, akatema mate chini, akafanya tope kwa yale mate,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo