Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Wengi wao wakasema, Ana pepo, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wengi wao wakasema, “Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”

Tazama sura Nakili




Yohana 10:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebul, je, si zaidi wale walio nyumbani mwake?


Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakanena. Yuna pepo.


Lakini Mafarisayo wakanena, Kwa mkuu wa pepo afukuza pepo.


Jamaa zake walipopata khabari wakatoka kwenda kumkamata: maana walinena, Amerukwa na akili.


Makutano wakajibu, wakasema, Una pepo; ni nani anaetafuta kukuua?


Bassi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumefahamu ya kuwa una pepo; Ibrahimu amekufa na manabii, na wewe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti kabisa hatta milele.


Alipokuwa akijitetea hivi, Festo akasema kwa sauti kuu, Paolo, una wazimu, kusoma kwako kwingi kumekugenza akili zako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo