Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Aingiae kwa mlango ni mchunga wa kondoo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Yeye anayeingia kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Yeye anayeingia kwa kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:2
25 Marejeleo ya Msalaba  

Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho najis mwana Adamu; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho najis mwana Adamu.


Mimi ndimi niliye mchunga aliye mwema; na walio wangu nawajua, na walio wangu wananijua,


Bassi Yesu aliwaamhia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi niliye mlango wa kondoo;


Mimi ndimi niliye mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka, ataingia, atatoka, na atapata malisho.


Jiangalieni nafsi zenu, na kundi lote, ambalo Roho Mtakatifu aliwakabidhi mlisimamie, kanisa lake Mungu, alilojipatia kwa damu yake mwenyewe.


Usiache kuitumia ile karama iliyo udani yako uliyopewa wewe kwa unabii, na kwa kuwekewa mikono ya wazee.


Kwa sababu hii nalikuaeba katika Krete, illi nyatengeneze yaliyosalia, na kuweka wazee katika killa mji kama nilivyokuamuru;


Bassi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka wafu Mchungaji wa kondoo aliye mkuu, kwa damu ya agano la milele, Bwana wetu Yesu,


Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea; lakini sasa mmemrudia Mchunga na Askofu wa roho zenu.


Na mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu, ile isiyokauka.


Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya dhababu. Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, na vile vinara saba ulivyoviona ni makanisa saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo