Yohana 10:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Yakaingia tena matangukano katika Wayahudi, kwa ajili ya maneno haya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Waliposikia maneno haya, Wayahudi wakagawanyika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kwa maneno haya Wayahudi waligawanyika. Tazama sura |