Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Yakaingia tena matangukano katika Wayahudi, kwa ajili ya maneno haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Waliposikia maneno haya, Wayahudi wakagawanyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa maneno haya Wayahudi waligawanyika.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Wayahudi wakashindana wao kwa wao, wakinena; Awezaje mtu huyu kutupa sisi nyama yake tuile?


Bassi baadhi ya Mafarisayo wakanena, Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakanena, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?


Lakini jamii ya watu wa mjini wakagawanyikana: bawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa Mitume.


kwa maana kwanza mkutanikapo kanisani nasikia kuna faraka kwenu; na nussu kidogo nasadiki:


Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina na faraka, je! si watu wa tabia za mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo