Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Ndio maana Baba anipenda, kwa sababu nauweka uzima wangu illi niutwae tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ndimi niliye mchunga aliye mwema: mchunga aliye mwema huweka maisha yake kwa ajili ya kondoo.


kama vile Baba anijuavyo, na mimi nimjuavyo Baba: na uzima wangu nauweka kwa ajili ya kondoo.


Hakuna mtu aniondoleae, bali mimi nauweka mwenyewe. Nina uweza wa kuuweka, tena nina uweza wa kuutwaa tena. Agizo hili nalilipokea kwa Baba yangu.


Bassi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Wayahudi katika khabari ya utakaso.


Umependa haki, umechukia maasi: kwa sababu hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta, mafuta ya shangwe kupita wenzako.


illa twamwona yeye aliyefanywa mdogo punde kuliko malaika, yaani Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji ya utukufu na heshima, illi kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya killa mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo