Yohana 10:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Ndio maana Baba anipenda, kwa sababu nauweka uzima wangu illi niutwae tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 “Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 “Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 “Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena. Tazama sura |