Yohana 10:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 kama vile Baba anijuavyo, na mimi nimjuavyo Baba: na uzima wangu nauweka kwa ajili ya kondoo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu kwa ajili yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu kwa ajili yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu kwa ajili yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, ndivyo nami ninautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. Tazama sura |