Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 10:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Mtu wa mshahara hukimhia kwa kuwa ni mtu wa mshahara, wala hatii moyoni mambo ya kondoo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu wa mshahara, na asiye mchunga, ambae kondoo si mali yake, humwona mbwa wa mwitu anakuja, huziacha kondoo, hukimbia; na mbwa wa mwitu huziteka, huzitawanya.


Mimi ndimi niliye mchunga aliye mwema; na walio wangu nawajua, na walio wangu wananijua,


Aliyasema haya, si kwa kuwahurumia maskini; hali kwa kuwa ni mwizi, nae ndiye aliyeshika mfuko, akavichikua vilivyotiwa humo.


Na Wayunani wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sunagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Na Gallio hakuyaona mambo hayo kuwa kitu.


Lakini nataka inwe hamna masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;


bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.


Maana sina mtu mwingine mwenye nia moja nami, atakaeangalia hali yenu kweli kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo