Yohana 10:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Mtu wa mshahara hukimhia kwa kuwa ni mtu wa mshahara, wala hatii moyoni mambo ya kondoo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo. Tazama sura |