Yohana 10:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Mwizi haji illa aibe, achinje, aharibu; mimi nalikuja wawe na uzima, na wawe nao tele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uhai – uhai kamili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uhai – uhai kamili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uhai — uhai kamili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mwizi huja ili aibe, aue na aangamize. Mimi nimekuja ili wapate uzima, kisha wawe nao tele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mwizi huja ili aibe, kuua na kuangamiza. Mimi nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele. Tazama sura |