Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 1:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Nuru halisi inayomwangazia kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwamba nuru halisi, imwangaziayo kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini jicho lako likiwa ovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Bassi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza, giza gani hilo!


Bassi, kama mwili wako wote nna nuru, tena kama hanna sehemu iliyo na giza, mwili wako utakuwa na nuru kabisa kama vile taa ikumulikiavyo kwa mwangaza wake.


Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao uzima ulikuwa nuru ya watu,


Huyu alikuja kwa ushuhuda, illi aishuhudie nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.


Mimi nimekuja niwe nuru ulimwenguni, illi kilia aniaminiye mimi asikae gizani.


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


MIMI ndimi niliye mzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mkulima.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa mkate ule kutoka mbinguni, bali Baba yangu anawapa mkate ule utokao mbinguni ulio wa kweli.


Kukawa manungʼuniko mengi katika makutano kwa khabari zake; wengine wakisema, Yu mtu mwema; na wengine wakisema, Sivyo, bali anawadanganya makutano.


Tukisema hatuna dhambi, twajidanganya, wala kweli haimo mwetu.


Na ile amri ya zamani ndiyo ile mliyosikia tangu mwanzo. Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa kuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kungʼaa.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo