Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 1:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Huyu alikuja kwa ushuhuda, illi aishuhudie nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kupitia kwake watu wote waweze kuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kwa kupitia kwake watu wote waweze kuamini.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:7
16 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wote waliompokea aliwapa mamlaka ya kufanyika watoto wa Mungu, ndio waliaminio jina lake:


Yohana akamshuhudia, akapaaza sauti yake, akinena, Huyu ndiye niliyemnena khabari zake, kwamba, Ajae nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi toka Yerusalemi wamwulize, Wewe u nani?


Akamtazama Yesu, akitembea, akasema, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu!


Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.


Paolo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakaekuja nyuma yake, yaani Kristo Yesu.


Maana ninyi nyote ni wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.


na kuwaangaza watu wote, wajue khabari ya kuishiriki siri ile, ambayo tangu zamani zote ilisetirika katika Mungu, aliyeviumba vyote kwa Yesu Kristo:


atakae watu wote waokolewe wakapate kujua sana yaliyo kweli.


Maana neema ya Mungu iwaokoayo wana Adamu wote imeonekana;


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wahesabuvyo kukawia, bali huvumilia kwenu, hapendi mtu aliye yote apotee, bali wote wafikilie toba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo