Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 1:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Akamtazama Yesu, akitembea, akasema, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Alipomwona Isa akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Alipomwona Isa akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”

Tazama sura Nakili




Yohana 1:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya pili yake Yohana amwona Yesu anakuja kwake, akanena, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu, aichukuae dhambi ya ulimwengu!


Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu. Yesu akageuka, akawaona wakifuata: akawaambia, Mnatafuta nini?


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo