Yohana 1:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Nami sikumjua: lakini kusudi adhibirishwe kwa Israeli ndio maana nalikuja nikibatiza kwa maji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini sababu ya kuja nikibatiza kwa maji ni ili yeye apate kufunuliwa kwa Israeli.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini sababu ya kuja nikibatiza kwa maji ni ili yeye apate kufunuliwa kwa Israeli.” Tazama sura |