Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 1:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Nao waliotumwa walitoka kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo,

Tazama sura Nakili




Yohana 1:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ewe Farisayo kipofu, takasa kwanza ndani ya kikombe na chungu, illi nje yake nayo ipate kuwa safi.


Alipokuwa akiwaambia haya, waandishi na Mafarisayo wakaanza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa masiala mengi, wakimwotea,


Mafarisayo nao wakayasikia haya yote, nao walikuwa wakipenda fedha; wakamdhihaki.


Bali Mafarisayo na wana sharia walijikatalia shauri la Mungu kwa kuwa hawakubatizwa nae.


Akasema, Mimi ni sauti ya mtu apaazae sauti jangwani, Inyosheni njia ya Bwana! kama alivyonena nabii Isaya.


Wakamwuliza, wakimwambia, Mbona bassi wabatiza, kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?


Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika na roho: bali Mafarisayo hukiri yote mawili.


wakinijua sana tangu mwanzo, kama wakipenda kushuhudia, ya kwamba nalikuwa Farisayo kwa kuifuata madhehebu ya dini yetu iliyo sahihi kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo