Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 1:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Wakamwuliza, Nini bassi? U Eliya wewe? Akanena, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Hapo wakamwuliza, “Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Elia?” Yohane akajibu, “La, mimi siye.” Wakamwuliza, “Je, wewe ni yule nabii?” Yohane akawajibu, “La!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Hapo wakamwuliza, “Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Elia?” Yohane akajibu, “La, mimi siye.” Wakamwuliza, “Je, wewe ni yule nabii?” Yohane akawajibu, “La!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Hapo wakamwuliza, “Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Elia?” Yohane akajibu, “La, mimi siye.” Wakamwuliza, “Je, wewe ni yule nabii?” Yohane akawajibu, “La!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wakamuuliza, “Wewe ni nani, basi? Je, wewe ni Ilya?” Yeye akajibu, “Hapana, mimi siye.” “Je, wewe ni yule Nabii?” Akajibu, “Hapana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wakamuuliza, “Wewe ni nani basi? Je, wewe ni Ilya?” Yeye akajibu, “Hapana, mimi siye.” “Je, wewe ni yule Nabii?” Akajibu, “Hapana.”

Tazama sura Nakili




Yohana 1:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na ikiwa mantaka kukubali, yeye ndiye Elia atakaekuja.


Wakasema, Wengine Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.


Makutano wakanena, Huyu ni Yesu, yule nabii wa Nazareti ya Galilaya.


Nae atatangulia mbele ya uso wake, mwenye roho ya Eliya, na nguvu zake, kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na kuwageuza maasi waelekee akili zao wenye haki; illi kumfanyia tayari Bwana watu waliotengenezwa.


Bassi wakamwambia, U nani? tuwape majibu waliotupeleka. Wajinenaje?


Wakamwuliza, wakimwambia, Mbona bassi wabatiza, kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?


Bassi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya Yesu, wakasema, Huyu hakika ni nabii yule ajae ulimwenguni.


Bassi watu wengi katika makutano waliposikia neno lile, walinena, Huyu hakika yake ndiye nabii yule.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo