Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 1:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Alikuja kwake, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akajibu, akasema, Sikupelekwa illa kwa kondoo zilizopotea za nyumba ya Israeli.


Wenyeji wake wakanichukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatutaki mtu huyu atutawale.


Alikuwako ulimwenguni, ulimwengu umepata kuwa kwa veye, wala ulimwengu haukumtambua.


Bali wote waliompokea aliwapa mamlaka ya kufanyika watoto wa Mungu, ndio waliaminio jina lake:


Baadae akamwambia mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua kwake.


Aliyoyaona na kuyasikia ndiyo anayoshuhudia, wala hapana anaeukubali ushuhuda wake.


Ndugu zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, nao miongoni mwenu mnaomcha Mungu, kwenu ninyi neno la wokofu huu limepelekwa.


Paolo na Barnaba wakanena kwa uthabiti wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza: illakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, wala hamjioni nafsi zenu kuwa mmestahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia mataifa.


na baada ya kuagana tukapanda merikebuni, nao wakarudi kwao.


Bassi nasema, Yesu Kristo amefanyika mkhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithubutishe ahadi walizopewa haha zetu;


NASEMA kweli katika Yesu Kristo, sisemi uwongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu,


na katika bao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili, aliye juu ya mambo yote, Mungu, anaehimidiwa milele. Amin.


Hatta ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwana wake, amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sharia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo