Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 5:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Msinungʼunikiane, ndugu, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Ndugu zangu, msinung'unikiane nyinyi kwa nyinyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ndugu zangu, msinung'unikiane nyinyi kwa nyinyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ndugu zangu, msinung'unikiane nyinyi kwa nyinyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ndugu zangu, msinung’unikiane, msije mkahukumiwa. Hakimu amesimama mlangoni!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ndugu zangu, msinung’unikiane msije mkahukumiwa. Hakimu amesimama mlangoni!

Tazama sura Nakili




Yakobo 5:9
21 Marejeleo ya Msalaba  

vivyo hivyo na ninyi, myaonapo haya yote, fahamuni ya kuwa yu karibu, tena milangoni.


kadhalika na ninyi, myaonapo haya yanatukia, fahamuni ya kuwa ni karibu milangoni.


Bassi yule Herodias akawa akimvizia, akataka kumwua, asipate.


Haya yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa illi kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.


Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Killa mtu na atende alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoae kwa moyo wa ukunjufu.


Maana sharia yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Tusijisifu burre, tukichokozana na kuhusudiana.


Msisingiziane, ndugu; amsingiziae ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, aisingizia sharia na kuihukumu sharia. Lakini ukiihukumu sharia, huwi mtenda sharia, bali mhukumu.


Mtoa sharia na mbukumu ni mmoja tu, awezae kuokoa na kuangamiza. U nani wewe umbukumuye mwenzako?


Watwaeni manabii walionena kwa jina la Bwana, wawe mfano wa kustahimili mabaya, na wa uvumilivu.


Bassi vumilieni, ndugu, hatta kuja kwake Bwana. Mwangalieni mkulima; hungoja mazao ya inchi yaliyo ya thamani, husubiri kwa ajili yake hatta yatakapopata mvua ya kwanza na ya mwisho.


watakaotoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hayi na waliokufa.


mwe wakaribishaji ninyi kwa ninyi, pasipo kunnngʼunika;


Tazama, nasimama mlangoni, nabisha: mtu akiisikia sauti yangu na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nitakula pamoja nae, na yeye pamoja nami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo