Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Mmemhukumu mwenye haki mkamwua: nae hashindani nanyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mmemhukumu na kumuua mtu asiye na hatia, naye hakuwapingeni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mmemhukumu na kumuua mtu asiye na hatia, naye hakuwapingeni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mmemhukumu na kumuua mtu asiye na hatia, naye hakuwapingeni!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.

Tazama sura Nakili




Yakobo 5:6
24 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


Nao makuhani wakuu na wazee wakawashawishi makutano illi wamtake Barabba, na kumwangamiza Yesu.


bali mimi nawaambieni, Msishindane na mtu mwovu; bali mtu akupigae shavu la kuume, mgeuzie na la pili.


Akasema, Mungu wa baba zetu amekuchagua upate kujua mapenzi yake, na kumwona Mwenye haki, na kuisikia sauti itokayo katika kinywa chake.


Ni yupi katika manabii ambae baba zenu hawakumwudhi? nao waliwaua wale waliotabiri khabari za kuja kwake yule mwenye haki; ambae ninyi sasa mmemsaliti mkamwua;


Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili: Alichukuliwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana kondoo asivyolia mbele yake amkatae manyoya, Vivyo hivyo yeve nae hafunui kinywa chake.


Lakini mwenye haki ataishi kwa imani; nae akisitasita, roho yangu haina furaha nae.


Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?


Mwatamani, wala hanma kitu; mwana na kuona wivu, na hamwezi kupata. Mwafanya vita na kupigana, wala hamna kitu kwa kuwa hamwombi.


Na mwenye haki akiokoka kwa shidda, yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi ataonekana wapi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo